• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Serikali |
    • Malalamiko |
Siha District Council
Siha District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Siha

  • Mwanzo
  • Historia
    • Dhima na Dira
    • Wasifu wa Wilaya
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Ujenzi na Zimamoto
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Idara ya Usafi na Mazingira
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Idara ya Kilimo,Ushirika na Umwagiliaji
      • Idara ya Mipango,Takwimu na Umwagiliaji
      • Idara ya Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
    • Kata
      • Sanya Juu
      • Gararagua
      • Karansi
      • Biriri
      • Songu
      • Makiwaru
      • Olkolili
      • Ormelili
      • DonyoMuruak
      • Ngarenairobi
      • Ndumet
      • Mitimirefu
      • Livishi
      • Nasai
      • Kirua
      • Kashashi
      • Ivaeny
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za maji
    • huduma za Watumishi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Tourism
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Jarida Mtandaoni Kila mwezi
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Videos
    • Hutuba
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Wajumbe Mkutano wa ALAT
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba vikao 2022/2023
    • Ratiba M/Kiti Halmashauri

WILAYA YA SIHA NI SALAMA - DKT TIMBUKA

Posted on: March 15th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Siha Mhe. Dkt Christopher Timbuka ameihakikishia Wajumbe ya Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) Mkoa wa Kilimanjaro kuwa Wilaya ni salama na wananchi wanaendelea kutekeleza shughuli za maendeleo.

Wakati akifungua kikao cha kamati ya Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) Mkoa wa Kilimanjaro kilichofanyika leo machi 15, 2024 katika ukumbi wa mikutano wa makao makuu ya Halmashauri ya Wilaya ya Siha, Mhe. Dkt Timbuka amesema uwepo wa hali ya usalama ndani ya wilaya umesaidia kutekeleza kwa ufanisi miradi ya maendeleo katika sekta ya elimu, afya, miundombinu, mazingira na uwekezaji ambayo imeboresha utoaji wa huduma kwa wananchi.

amewaasa wajumbe wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) ambao ni wawakilishi wa wananchi kuendelea kuwasemea wananchi na kusimamia shughuli za mbalimbali za maendeleo katika maeneo yao ili kuendelea kuboresha huduma zinazotolewa kwa wananchi.

"Mimi naamini kabisa kwamba mtaendelea kuzipatia ufumbuzi changamoto mbalimbali na nyingine mtaziwasilisha ALAT Taifa na Bungeni ili ziweze kupata uwakilishi" amesema Mhe Dkt Timbuka

"Jingine kubwa ninalowasihi, ni waheshimiwa wajumbe wa ALAT Mkoa kama Waheshimiwa Madiwani tujenge umoja na mshikamano kati yetu na wananchi, na tuendelee kufanya siasa safi na salama kwa kuwambia ukweli wananchi ili itusaidie na sisi tufanye shughuli zetu za maendeleo bila mwingiliano" ameongeza Mhe. Dkt Christopher Timbuka Mkuu wa Wilaya ya Siha.

Mkuu wa Wilaya ya Siha Mhe. Dkt Christopher Timbuka akiwa kwenye picha ya pamoja na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania Mkoa wa Kilimanjaro Mhe Salehe Mkwizu (kulia) na Katibu wa Jumuiya Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania Mkoa wa Kilimanjaro Shadrack Mhagama (kushoto) baada ya kufungua baada ya kufungua kikao cha Jumuiya hiyo kilichofanyika Machi 15, 2024 katika ukumbi wa mikutano wa makao makuu ya Halmashauri ya Wilaya ya Siha.


Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KAZINI SIHA DC OKTOBA 2024 October 21, 2024
  • TANGAZO LA KOSEGEZWA MBELE UKODISHAJI WA MASHAMBA January 22, 2025
  • TANGAZO NAFASI YA MWENYEKITI BODI YA AJIRA HALMASHAURI YA SIHA KILIMANJARO February 18, 2025
  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI SIHA August 28, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • Rais Samia aendelea kuitangaza Tanzania Kimataifa

    April 11, 2025
  • Rais Samia aendelea kuitangaza Tanzania Kimataifa

    April 11, 2025
  • Uzinduzi Sera ya Ardhi Siha yashiriki

    March 17, 2025
  • Umoja wa Ulaya kuendelea kushirikiana na Tanzania

    March 12, 2025
  • Ona Zote

Video

WATUMISHI SIHA DC WAASWA KUFANYA KAZI KWA UADILIFU
Video zingine

Viunganisho vya haraka

  • Wasifu wa Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Wasifu wa Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri
  • Soma taarifa zote ndani ya tovuti
  • Blog ya Halmashauri
  • facebook ya Halmashauri
  • Matokeo ya Taifa Darasa la Saba 2016 Siha
  • kuomba pasipoti kupitia mtandaoni
  • WARAKA WA MAVAZI KWA WATUMISHI WA UMMA
  • Fomu za Likizo Watumishi wa Umma

Viunganisho Vinavyohusiana

  • Basic Education Statistics
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Takwimu za taifa
  • Idara ya habari maelezo
  • tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Wananchi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotazama

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji,Halmashauri ya Wilaya ya Siha /Siha District Council

    sanduku la Posta: 5 BR- Sanya Juu -Elerai S.L.P 129, 25482 SIHA

    simu: 0272-970677

    Mobile: 0713164432 DED Siha

    Email: ded@sihadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Ya eneo

Copyright ©2017 SihaDistrictCouncil . All rights reserved.