• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Serikali |
    • Malalamiko |
Siha District Council
Siha District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Siha

  • Mwanzo
  • Historia
    • Dhima na Dira
    • Wasifu wa Wilaya
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Ujenzi na Zimamoto
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Idara ya Usafi na Mazingira
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Idara ya Kilimo,Ushirika na Umwagiliaji
      • Idara ya Mipango,Takwimu na Umwagiliaji
      • Idara ya Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
    • Kata
      • Sanya Juu
      • Gararagua
      • Karansi
      • Biriri
      • Songu
      • Makiwaru
      • Olkolili
      • Ormelili
      • DonyoMuruak
      • Ngarenairobi
      • Ndumet
      • Mitimirefu
      • Livishi
      • Nasai
      • Kirua
      • Kashashi
      • Ivaeny
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za maji
    • huduma za Watumishi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Tourism
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Jarida Mtandaoni Kila mwezi
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Videos
    • Hutuba
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Wajumbe Mkutano wa ALAT
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba vikao 2022/2023
    • Ratiba M/Kiti Halmashauri

Wananchi West Kilimanjaro wafurahia barabara ya Lami

Posted on: April 9th, 2019

Wananchi wa Tarafa ya Siha Magharibi wameendelea kupata mafanikio ya Serikali ya awamu ya tano kutokana na kuunganishwa na barabara kiwango cha lami inayotoka Sanya Juu kupitia Ngarenairobi hadi Elerai. Barabara hiyo inayotarajiwa kufunguliwa hivi karibuni mara baada ya ujenzi  wake kukamilika muda wowote kuanzia sasa.

Kwa pamoja Madiwani wanaotoka katika Kata za Ngarenairobi,Ndumet na Mitimirefu wameeleza  kufurahishwa na utendaji kazi  uliotukuka wa Mhe  Dkt. John Pombe Magufuli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hasa kwa kuwajengea barabara bora na ya kisasa kwa kiwango cha Lami. 

Akielezea ujenzi huo Diwani wa Kata ya Ndumeti Mhe. Jackson Rabo amesema kuwa Wananchi wa Kata yake wanampongeza Rais Magufuli kwa jinsi alivyofanikisha ujenzi huo ambao ulishindikana katika awamu zote zilizopita lakini umewezekana katika Serikali ya  awamu hii ya tano. Sisi kama wananchi hatuna cha kumpa Mhe. Rais wetu bali tutazidi kumwombea Mungu ili azidi kumpa nguvu na maisha marefu zaidi.  

Kujengwa kwa barabara hiyo kumeanza kuongeza msafara mkubwa wa Watalii wanaopita barabara hiyo kupanda mlima  Kilimanjaro kupitia lango la Londrosi . kwa upande wa mazao ya chakula  kama vile viazi mviringo,karoti,Maharage,ngano,na aina mbalimbali za mboga yanayopatikana kwa wingi katika eneo la West Kilimanjaro na kusafirishwa katika mikoa ya Arusha,Tanga,Dar es salaam na Nchi jirani ya Kenya yanasafirshwa kwa urahisi kwa sasa kutokana na sehemu kubwa ya  ujenzi wa barabara hiyo kukamilika . 

Kujengwa kwa barabara hii kumetokana na juhudi za  Serikali ya awamu ya tano za kuwaletea wananchi maendeleo kwa kuboresha miundombinu ya barabara katika maeneo mengi ya Nchi ya Tanzania ikiwemo Wilaya ya Siha. Kwa mara ya kwanza tangu Uhuru ya Tanzania upatikane mwaka 1961 wananchi wameshuhudia kujengwa kwa barabara ya lami kutoka Sanya Juu  hadi Ngarenairobi kuelekea Elerai yenye jumla ya Kilomita 32.3 kwa gharama ya zaidi ya shilingi Bil 52.3 kutoka Serikali ya Tanzania.

BARABARA YA LAMI WEST INAVYOONEKANA PICHANI HAPA CHINI

Muonekano wa barabara hiyo karibu na Makao Makuu ya Halmashauri ya Siha

Muonekano wa barabara mpya ya lami kuelekea West Kilimanjaro hapa ni eneo la karibu na barabara ya NARCO

kipande cha barabara hii kuelekea Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Siha kama inavyoonekana pichani hapo juu

Ubora wa barabara hii karibu na barabara inayoelekea TALIRI

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KAZINI SIHA DC OKTOBA 2024 October 21, 2024
  • TANGAZO LA KOSEGEZWA MBELE UKODISHAJI WA MASHAMBA January 22, 2025
  • TANGAZO NAFASI YA MWENYEKITI BODI YA AJIRA HALMASHAURI YA SIHA KILIMANJARO February 18, 2025
  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI SIHA August 28, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • Rais Samia aendelea kuitangaza Tanzania Kimataifa

    April 11, 2025
  • Rais Samia aendelea kuitangaza Tanzania Kimataifa

    April 11, 2025
  • Uzinduzi Sera ya Ardhi Siha yashiriki

    March 17, 2025
  • Umoja wa Ulaya kuendelea kushirikiana na Tanzania

    March 12, 2025
  • Ona Zote

Video

WATUMISHI SIHA DC WAASWA KUFANYA KAZI KWA UADILIFU
Video zingine

Viunganisho vya haraka

  • Wasifu wa Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Wasifu wa Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri
  • Soma taarifa zote ndani ya tovuti
  • Blog ya Halmashauri
  • facebook ya Halmashauri
  • Matokeo ya Taifa Darasa la Saba 2016 Siha
  • kuomba pasipoti kupitia mtandaoni
  • WARAKA WA MAVAZI KWA WATUMISHI WA UMMA
  • Fomu za Likizo Watumishi wa Umma

Viunganisho Vinavyohusiana

  • Basic Education Statistics
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Takwimu za taifa
  • Idara ya habari maelezo
  • tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Wananchi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotazama

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji,Halmashauri ya Wilaya ya Siha /Siha District Council

    sanduku la Posta: 5 BR- Sanya Juu -Elerai S.L.P 129, 25482 SIHA

    simu: 0272-970677

    Mobile: 0713164432 DED Siha

    Email: ded@sihadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Ya eneo

Copyright ©2017 SihaDistrictCouncil . All rights reserved.