• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Serikali |
    • Malalamiko |
Siha District Council
Siha District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Siha

  • Mwanzo
  • Historia
    • Dhima na Dira
    • Wasifu wa Wilaya
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Ujenzi na Zimamoto
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Idara ya Usafi na Mazingira
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Idara ya Kilimo,Ushirika na Umwagiliaji
      • Idara ya Mipango,Takwimu na Umwagiliaji
      • Idara ya Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
    • Kata
      • Sanya Juu
      • Gararagua
      • Karansi
      • Biriri
      • Songu
      • Makiwaru
      • Olkolili
      • Ormelili
      • DonyoMuruak
      • Ngarenairobi
      • Ndumet
      • Mitimirefu
      • Livishi
      • Nasai
      • Kirua
      • Kashashi
      • Ivaeny
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za maji
    • huduma za Watumishi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Tourism
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Jarida Mtandaoni Kila mwezi
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Videos
    • Hutuba
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Wajumbe Mkutano wa ALAT
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba vikao 2022/2023
    • Ratiba M/Kiti Halmashauri

Siha kupatiwa 1.5 bilioni ujenzi Hospital ya Wilaya

Posted on: November 13th, 2018

Siha kupatiwa 1.5 Bilioni ujenzi Hospital ya Wilaya

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mhe. Samia Suluhu Hassan amesema kuwa Serikali ya awamu ya tano itahakikisha inakamilisha ujenzi wa miundombinu yote katika Hospital ya Wilaya ya Siha.

Ahadi hiyo ameitoa tarehe 13/11/2018 alipokuwa akiweka jiwe la msingi katika Hospital ya Wilaya ya Siha iliyopo kata ya Sanya Juu Tarafa ya Siha Magharibi.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya kuweka jiwe la msingi katika Hospital ya Wilaya ya Siha aliwaeleza wananchi wa Wilaya ya Siha kwamba,Serikali ya awamu ya tano chini ya Rais Magufuli itahakikisha ujenzi wa Hospital ya Siha unakamilika.

“Serikali yenu ya wanyonge mlioichagua itatoa jumla ya shilingi 1.5 bilioni ili kuhakikisha kuwa inakamilisha miundombinu katika hospital ya Wilaya ya Siha lengo likiwa ni kutoa huduma bora kwa wananchi wa Siha” alisema Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Awali  kabla ya kumkaribisha mhe. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Siha ndugu Valerian Juwal alisoma taarifa ya Hospital ya Wilaya kwa makamu wa Rais wa Tanzania,ambapo taarifa hiyo ilieleza hatua mbalimbali zilizofikiwa katika ujenzi wa miundombinu katika Hospital ya Wilaya.

Taarifa hiyo ilieleza kuwa katika kipindi cha miaka mitatu mfufulilizo halmashauri ya Siha imepata mafanikio makubwa katika sekta ya afya,ambapo katika mwaka wa fedha  2017/2018 hakuna kifo cha mwanamke kilichotokea Wilaya ya Siha  kutokana na matatizo ya uzazi.

Kukamilika kwa ujenzi wa miundombinu katika Hospital ya Wilaya ya Siha kutasaidia kuwaondolea usumbufu wananchi wa Wilaya ya Siha ambao kwa muda mrefu wamekuwa wakifuata huduma kwa gharama kubwa katika Hospital ya Mkoa wa Kilimanjaro na ile ya rufaa ya KCMC zilizopo mjini Moshi.

 

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KAZINI SIHA DC OKTOBA 2024 October 21, 2024
  • TANGAZO LA KOSEGEZWA MBELE UKODISHAJI WA MASHAMBA January 22, 2025
  • TANGAZO NAFASI YA MWENYEKITI BODI YA AJIRA HALMASHAURI YA SIHA KILIMANJARO February 18, 2025
  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI SIHA August 28, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • MILIONI 316.5 YATOLEWA KWA VIKUNDI 48 WILAYANI SIHA

    May 23, 2025
  • Mchengerwa awapongeza Maofisa Habari Nchini Kwa uchapa kazi

    May 23, 2025
  • Mchengerwa awapongeza Maofisa Habari Nchini Kwa uchapa kazi

    May 23, 2025
  • Mchengerwa awapongeza Maofisa Habari Nchini Kwa uchapa kazi

    May 23, 2025
  • Ona Zote

Video

WATUMISHI SIHA DC WAASWA KUFANYA KAZI KWA UADILIFU
Video zingine

Viunganisho vya haraka

  • Wasifu wa Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Wasifu wa Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri
  • Soma taarifa zote ndani ya tovuti
  • Blog ya Halmashauri
  • facebook ya Halmashauri
  • Matokeo ya Taifa Darasa la Saba 2016 Siha
  • kuomba pasipoti kupitia mtandaoni
  • WARAKA WA MAVAZI KWA WATUMISHI WA UMMA
  • Fomu za Likizo Watumishi wa Umma

Viunganisho Vinavyohusiana

  • Basic Education Statistics
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Takwimu za taifa
  • Idara ya habari maelezo
  • tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Wananchi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotazama

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji,Halmashauri ya Wilaya ya Siha /Siha District Council

    sanduku la Posta: 5 BR- Sanya Juu -Elerai S.L.P 129, 25482 SIHA

    simu: 0272-970677

    Mobile: 0713164432 DED Siha

    Email: ded@sihadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Ya eneo

Copyright ©2017 SihaDistrictCouncil . All rights reserved.