• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Serikali |
    • Malalamiko |
Siha District Council
Siha District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Siha

  • Mwanzo
  • Historia
    • Dhima na Dira
    • Wasifu wa Wilaya
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Ujenzi na Zimamoto
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Idara ya Usafi na Mazingira
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Idara ya Kilimo,Ushirika na Umwagiliaji
      • Idara ya Mipango,Takwimu na Umwagiliaji
      • Idara ya Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
    • Kata
      • Sanya Juu
      • Gararagua
      • Karansi
      • Biriri
      • Songu
      • Makiwaru
      • Olkolili
      • Ormelili
      • DonyoMuruak
      • Ngarenairobi
      • Ndumet
      • Mitimirefu
      • Livishi
      • Nasai
      • Kirua
      • Kashashi
      • Ivaeny
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za maji
    • huduma za Watumishi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Tourism
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Jarida Mtandaoni Kila mwezi
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Videos
    • Hutuba
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Wajumbe Mkutano wa ALAT
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba vikao 2022/2023
    • Ratiba M/Kiti Halmashauri

Msitumie Madaraka Vibaya : Dkt. Timbuka DC Siha

Posted on: February 8th, 2024

Msitumie madaraka  Vibaya  - Dkt. Timbuka

Mkuu wa Wilaya ya Siha Mhe. Dkt Christopher Timbuka amewaagiza Watendaji wa Kata na Vijiji  Wilayani Siha kufanya kazi kwa weledi na kutenda haki huku wakifuata sheria, kanuni na taratibu za utumishi wa Umma.

Mhe. Dkt Timbuka ametoa kauli hiyo leo Februari 08, 2024 wakati wa kikao kazi cha maandalizi ya mapokezi ya Mwenge wa Uhuru kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa makao makuu ya Halmashauri ya Wilaya ya Siha ambapo amewataka baadhi ya  watendaji wa umma  kuacha kutumia madaraka vibaya.

Amesema ikibainika mtendaji wa Kata au Kijiji  ametumia madaraka na dhamana aliyopewa na Serikali vibaya kwa lengo la kuwaumiza wananchi, hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yake ili kukomesha tabia hiyo.

“Tusitumie madaraka tuliyopewa  vibaya, na unapoyatumia vibaya na kusababisha uvunjifu wa amani mimi kama kiongozi nitahakikisha unachukuliwa hatua, lakini tusingependa tufikie huko, fanyeni kazi kwa weledi na kwa kufuata utaratibu uliopo” amesema Dkt Timbuka.

“Kuna makosa mengine ambayo tumekuwa hatutoi ushirikiano sisi kama Watendaji wa Serikali, naomba sana tuwajibike, kwa mfano kuna matukio ya kubaka na kulawiti  yametokea hivi karibuni na baadhi ya watendaji siwataji walidhubuti kuegemea upande wa wahalifu kwa kuwatetea na kujaribu kuharibu ushahidi, jambo kama hili halikubaliki” ameongeza Dkt Timbuka

Kwa upande mwingine, Mkuu wa Jeshi la Polisi Wilaya ya Siha, Mrakibu Mwandamizi wa polisi (SSP) Zakia Shuma amewaomba watendaji wa Kata na Vijiji Wilaya ya Siha kutokuweka vikwazo au visingizio vya kuwanyima  wananchi  haki yao ya kupata barua za kupata dhamana Polisi  kwani hali hiyo  inalichafua Jeshi la Polisi Wilayani Siha.

“Sheria za dhamana zipo wazi kabisa na sisi kama Watendaji wa Serikali tunalijua hilo, sasa inapotokea mwananchi anakosa haki yake kwa sababu mtendaji haujampa barua ya kupata haki yake ya dhamana  inanisitikisha sana, niwaombe Watendaji wa Kata na Vijiji muweke uzalendo mbele wa kuwahudumia wananchi kwa kufuata sheria za nchi” amesema mrakibu Mwandamizi wa Polisi - SSP Zakia Shuma.

 

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KAZINI SIHA DC OKTOBA 2024 October 21, 2024
  • TANGAZO LA KOSEGEZWA MBELE UKODISHAJI WA MASHAMBA January 22, 2025
  • TANGAZO NAFASI YA MWENYEKITI BODI YA AJIRA HALMASHAURI YA SIHA KILIMANJARO February 18, 2025
  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI SIHA August 28, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • Rais Samia aendelea kuitangaza Tanzania Kimataifa

    April 11, 2025
  • Rais Samia aendelea kuitangaza Tanzania Kimataifa

    April 11, 2025
  • Uzinduzi Sera ya Ardhi Siha yashiriki

    March 17, 2025
  • Umoja wa Ulaya kuendelea kushirikiana na Tanzania

    March 12, 2025
  • Ona Zote

Video

WATUMISHI SIHA DC WAASWA KUFANYA KAZI KWA UADILIFU
Video zingine

Viunganisho vya haraka

  • Wasifu wa Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Wasifu wa Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri
  • Soma taarifa zote ndani ya tovuti
  • Blog ya Halmashauri
  • facebook ya Halmashauri
  • Matokeo ya Taifa Darasa la Saba 2016 Siha
  • kuomba pasipoti kupitia mtandaoni
  • WARAKA WA MAVAZI KWA WATUMISHI WA UMMA
  • Fomu za Likizo Watumishi wa Umma

Viunganisho Vinavyohusiana

  • Basic Education Statistics
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Takwimu za taifa
  • Idara ya habari maelezo
  • tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Wananchi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotazama

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji,Halmashauri ya Wilaya ya Siha /Siha District Council

    sanduku la Posta: 5 BR- Sanya Juu -Elerai S.L.P 129, 25482 SIHA

    simu: 0272-970677

    Mobile: 0713164432 DED Siha

    Email: ded@sihadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Ya eneo

Copyright ©2017 SihaDistrictCouncil . All rights reserved.