• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Serikali |
    • Malalamiko |
Siha District Council
Siha District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Siha

  • Mwanzo
  • Historia
    • Dhima na Dira
    • Wasifu wa Wilaya
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Ujenzi na Zimamoto
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Idara ya Usafi na Mazingira
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Idara ya Kilimo,Ushirika na Umwagiliaji
      • Idara ya Mipango,Takwimu na Umwagiliaji
      • Idara ya Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
    • Kata
      • Sanya Juu
      • Gararagua
      • Karansi
      • Biriri
      • Songu
      • Makiwaru
      • Olkolili
      • Ormelili
      • DonyoMuruak
      • Ngarenairobi
      • Ndumet
      • Mitimirefu
      • Livishi
      • Nasai
      • Kirua
      • Kashashi
      • Ivaeny
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za maji
    • huduma za Watumishi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Tourism
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Jarida Mtandaoni Kila mwezi
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Videos
    • Hutuba
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Wajumbe Mkutano wa ALAT
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba vikao 2022/2023
    • Ratiba M/Kiti Halmashauri

Makadirio ya Bajeti Siha DC 2023.2024

Posted on: February 1st, 2023

BARAZA LA MADIWANI SIHA LAPITISHA MPANGO NA MAKISIO YA BAJETI YENYE  SHILINGI BILIONI 22.5 MWAKA  WA FEDHA 2023/2024


Baraza la Wah.Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya   Siha Mkoa wa Kilimanjaro leo jumatano tarehe 01 Februari,2023 limepitisha mapendekezo ya Bajeti ya Halmashauri ya Wilaya ya Siha yenye Thamani ya shilingi Bilioni 22.5

Mkutano huo Maalum  wa Baraza la Madiwani katika Halmashauri ya Wilaya ya Siha umekutana kwa muda wa siku mbili katika Ukumbi wa Halmashauri ya Siha na kupitia mapitio ya Bajeti iliyopita pamoja na kujadili na kupitisha mpango na Makisio ya   Bajeti kwa  mwaka wa fedha 2023/2024.

 Akiwasilisha  Mpango na Makisio ya  Bajeti kwa Baraza la Madiwani Afisa Mipango na Uratibu wa Halmashauri ya Siha ndugu Constantine Mtiti kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji alisema kuwa Bajeti ya Halmashauri ya Siha Kwa mwaka 2023/2024 ni jumla ya shilingi Bilioni 22.5.

Alieleza kuwa mchanganuo wa Makisio na mapendekezo ya Bajeti ya Halmashauri ni kama ifuatavyo-:

Fedha za  ruzuku kutoka Serikali kuu ni shilingi Bilioni 16.827,Fedha za ruzuku kutoka Washirika wa Maendeleo ni shilingi Bilioni 3.506 na *Fedha za makusanyo ya Ndani ya Halmashauri ni shilingi Bilioni 2.167

Aidha,katika Mpango wa Bajeti uliopitishwa na Mkutano Maalum wa  Baraza la Wah.Madiwani vipaumbele vya Bajeti ya Halmashauri ya Wilaya ya Siha kwa mwaka wa fedha 2023/2024 vimelenga katika masuala yafuatayo

i)Kuimarisha ukusanyaji wa Mapato ya ndani ya Halmashauri

ii)Kuboresha Mazingira ya  kufundisha na kujifunzia katika shule za Msingi na Sekondari

iii)Kuboresha huduma za Afya ya Msingi kwa ununuzi wa dawa na vifaa tiba

iv)Kuboresha uzalishaji na tija kwa mazao ya Kilimo na Mifugo

Afisa Mipango na Uratibu alieleza kuwa katika  mpango na Mapendekezo ya Bajeti ya Halmashauri ya Siha kwa mwaka wa fedha 2023/2024 Makisio ya makusanyo ya Ndani  yameongezeka kwa asilimia 10 kutoka Bajeti ya mwaka 2022/2023 iliyokuwa shilingi Bilioni 1.974.


✅Halmashauri ya Siha- Kilimanjaro

✅KAZI IENDELEE 2023/2024

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KAZINI SIHA DC OKTOBA 2024 October 21, 2024
  • TANGAZO LA KOSEGEZWA MBELE UKODISHAJI WA MASHAMBA January 22, 2025
  • TANGAZO NAFASI YA MWENYEKITI BODI YA AJIRA HALMASHAURI YA SIHA KILIMANJARO February 18, 2025
  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI SIHA August 28, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • Rais Samia aendelea kuitangaza Tanzania Kimataifa

    April 11, 2025
  • Rais Samia aendelea kuitangaza Tanzania Kimataifa

    April 11, 2025
  • Uzinduzi Sera ya Ardhi Siha yashiriki

    March 17, 2025
  • Umoja wa Ulaya kuendelea kushirikiana na Tanzania

    March 12, 2025
  • Ona Zote

Video

WATUMISHI SIHA DC WAASWA KUFANYA KAZI KWA UADILIFU
Video zingine

Viunganisho vya haraka

  • Wasifu wa Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Wasifu wa Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri
  • Soma taarifa zote ndani ya tovuti
  • Blog ya Halmashauri
  • facebook ya Halmashauri
  • Matokeo ya Taifa Darasa la Saba 2016 Siha
  • kuomba pasipoti kupitia mtandaoni
  • WARAKA WA MAVAZI KWA WATUMISHI WA UMMA
  • Fomu za Likizo Watumishi wa Umma

Viunganisho Vinavyohusiana

  • Basic Education Statistics
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Takwimu za taifa
  • Idara ya habari maelezo
  • tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Wananchi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotazama

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji,Halmashauri ya Wilaya ya Siha /Siha District Council

    sanduku la Posta: 5 BR- Sanya Juu -Elerai S.L.P 129, 25482 SIHA

    simu: 0272-970677

    Mobile: 0713164432 DED Siha

    Email: ded@sihadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Ya eneo

Copyright ©2017 SihaDistrictCouncil . All rights reserved.