• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Serikali |
    • Malalamiko |
Siha District Council
Siha District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Siha

  • Mwanzo
  • Historia
    • Dhima na Dira
    • Wasifu wa Wilaya
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Ujenzi na Zimamoto
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Idara ya Usafi na Mazingira
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Idara ya Kilimo,Ushirika na Umwagiliaji
      • Idara ya Mipango,Takwimu na Umwagiliaji
      • Idara ya Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
    • Kata
      • Sanya Juu
      • Gararagua
      • Karansi
      • Biriri
      • Songu
      • Makiwaru
      • Olkolili
      • Ormelili
      • DonyoMuruak
      • Ngarenairobi
      • Ndumet
      • Mitimirefu
      • Livishi
      • Nasai
      • Kirua
      • Kashashi
      • Ivaeny
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za maji
    • huduma za Watumishi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Tourism
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Jarida Mtandaoni Kila mwezi
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Videos
    • Hutuba
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Wajumbe Mkutano wa ALAT
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba vikao 2022/2023
    • Ratiba M/Kiti Halmashauri

KINAPA WATOA VIFAA SHULE YA SEKONDARI VISITATION WILAYANI SIHA

Posted on: April 5th, 2019

Mamlaka ya hifadhi ya mlima Kilimanjaro (KINAPA) leo tarehe 5.4.2019 wametoa msaada wa vifaa mbalimbali kwa wanafunzi wa shule ya Sekondari ya Wasichana Visitation kutokana na janga la moto lililotokea hivi karibuni na kuunguza vifaa mbalimbali vya wanafunzi wa shule hiyo.

Akiwasilisha msaada huo kwa Mkuu wa shule hiyo,Mwakilishi wa hifadhi ya Taifa ya mlima Kilimanjaro KINAPA ndugu Elibariki Eliangilisa alieleza kuwa KINAPA wametoa vifaa mbalimbali kwa wanafunzi wa shule hiyo  vyenye thamani ya shilingi milioni 2 ikiwa ni sehemu ya mchango wao kama wadau wakubwa wa elimu na lengo likiwa ni  kuwapa pole wanafunzi waliopoteza vifaa vyao wakati wa janga la moto.

Alieleza kuwa msaada walioutoa ni juhudi za Mhe. Onesmo Buswelu Mkuu wa Wilaya ya Siha ambaye aliwashirikisha kuhusu tukio la wanafunzi wa shule ya Wasichana Visitation kupoteza vifaa vyao mara baada ya tukio la moto kutokea katika bweni moja la wanafunzi,ambapo taarifa zinasemekana kuwa huenda ilitokana na hitilafu ya umeme,tunashukuru Mungu kuwa katika tukio hilo hakana madhara yoyote ya mwanafunzi kupata madhara bali ni vifaa tu ndio vilivyoteketea kwa moto.

“Naomba mpokee msaada wetu mdogo kwenu uwe kama chachu ya kuendelea kudumisha mahusiano yetu kama wahifadhi wa mlima na jamii ya watu wa Kilimanjaro” alisema Elibariki

Miongoni mwa vifaa vilivyokabidhiwa kwa wanafunzi wa shule ya Sekondari Visitation na Mwakilishi wa KINAPA kupitia Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ni pamoja na mashuka 100,Madaftari 150,Kalamu boksi 10, pamoja na vifaa vingine vingi vitakavyowezesha wanafunzi kujikimu



Wanafunzi wa shule ya wasichana Visitation  leo tarehe 5.4.2019 wakipokea msaada wa vifaa mbalimbali vilivyotolewa na mamlaka ya hifadhi ya mlima Kilimanjaro (KINAPA)

Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Visitation wakishiriki katika kupokea vifaa mbalimbali vya msaada vilivyotolewa na mamlaka ya hifadhi ya Taifa ya mlima Kilimanjaro

wanafunzi wa shule ya wasichana Visitation wakishuhudia vifaa mbalimbali vya msaada vilikabidhiwa shuleni hapo na mwakilishi wa KINAPA


Vifaa mbalimbali vya msaada  vilivyotolewa na hifadhi ya Taifa ya mlima Kilimanjaro vikishushwa katika gari ,huku wanafunzi wa shule ya Visitation wakifurahia

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KAZINI SIHA DC OKTOBA 2024 October 21, 2024
  • TANGAZO LA KOSEGEZWA MBELE UKODISHAJI WA MASHAMBA January 22, 2025
  • TANGAZO NAFASI YA MWENYEKITI BODI YA AJIRA HALMASHAURI YA SIHA KILIMANJARO February 18, 2025
  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI SIHA August 28, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • Rais Samia aendelea kuitangaza Tanzania Kimataifa

    April 11, 2025
  • Rais Samia aendelea kuitangaza Tanzania Kimataifa

    April 11, 2025
  • Uzinduzi Sera ya Ardhi Siha yashiriki

    March 17, 2025
  • Umoja wa Ulaya kuendelea kushirikiana na Tanzania

    March 12, 2025
  • Ona Zote

Video

WATUMISHI SIHA DC WAASWA KUFANYA KAZI KWA UADILIFU
Video zingine

Viunganisho vya haraka

  • Wasifu wa Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Wasifu wa Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri
  • Soma taarifa zote ndani ya tovuti
  • Blog ya Halmashauri
  • facebook ya Halmashauri
  • Matokeo ya Taifa Darasa la Saba 2016 Siha
  • kuomba pasipoti kupitia mtandaoni
  • WARAKA WA MAVAZI KWA WATUMISHI WA UMMA
  • Fomu za Likizo Watumishi wa Umma

Viunganisho Vinavyohusiana

  • Basic Education Statistics
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Takwimu za taifa
  • Idara ya habari maelezo
  • tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Wananchi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotazama

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji,Halmashauri ya Wilaya ya Siha /Siha District Council

    sanduku la Posta: 5 BR- Sanya Juu -Elerai S.L.P 129, 25482 SIHA

    simu: 0272-970677

    Mobile: 0713164432 DED Siha

    Email: ded@sihadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Ya eneo

Copyright ©2017 SihaDistrictCouncil . All rights reserved.