• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Serikali |
    • Malalamiko |
Siha District Council
Siha District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Siha

  • Mwanzo
  • Historia
    • Dhima na Dira
    • Wasifu wa Wilaya
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Ujenzi na Zimamoto
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Idara ya Usafi na Mazingira
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Idara ya Kilimo,Ushirika na Umwagiliaji
      • Idara ya Mipango,Takwimu na Umwagiliaji
      • Idara ya Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tehama
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
    • Kata
      • Sanya Juu
      • Gararagua
      • Karansi
      • Biriri
      • Songu
      • Makiwaru
      • Olkolili
      • Ormelili
      • DonyoMuruak
      • Ngarenairobi
      • Ndumet
      • Mitimirefu
      • Livishi
      • Nasai
      • Kirua
      • Kashashi
      • Ivaeny
  • Huduma zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za elimu
    • Huduma za maji
    • huduma za Watumishi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Tourism
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Videos
    • Hutuba
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi mipya
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Wajumbe Mkutano wa ALAT
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba vikao 2018/2019
    • Ratiba M/Kiti Halmashauri

Zahanati Roseline,Sinai na Messe zapatiwa fedha za ujenzi na Serikali

Posted on: February 12th, 2021

Zahanati  Sinai,Roseline na Messe zapatiwa fedha za ujenzi na Serikali

Halmashauri ya Wilaya ya Siha hivi karibuni  imepokea jumla ya shilingi milioni 150 kutoka Serikali  ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa ajili ya kuendeleza ,kuboreshana  kukamilisha  miundombinu katika Zahanati za Messe Kata ya Livishi,Sinai Kata ya Ormelili pamoja na Roseline kata ya Ndumeti.

Taarifa hiyo imetolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Siha ndugu Ndaki Mhuli alipokuwa katika ziara fupi ya kukagua miradi ya maendeleo katika Halmashauri ya Siha inayotekelezwa na Serikali ya Tanzania pamoja na miradi inayotekelezwa na Halmashauri ya Siha kwa kutumia  fedha za mapato ya ndani.

Alieleza kuwa katika fedha zilizopokelewa na Halmashauri kila Zahanati itapata jumla ya shilingi milioni 50 ambazo zitasaidia kukamilisha miundombinu katika Zahanati husika kwa lengo la kuwezesha utoaji wa huduma bora kwa jamii na wananchi wa Siha.

Napenda kuishukuru Serikali yetu tukufu ya awamu ya tano kwa kutupatia Halmashauri ya Siha fedha hizi kwa wakati kwani zitasaidia kuboresha miundombinu ya ujenzi katika Zahanati za Messe,Sinai na Roseline alisema Ndaki Mhhuli.

Alieleza pia kuwa Kazi za kukamilisha miundombinu katika Zahanati zilizopata fedha zitaanza hivi karibuni na maandalizi mbalimbali yameshaanza kufanyika.

Ndaki Mhuli Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Siha ametoa wito kwa Watumishi wa umma na wale wote watakaopewa dhamana ya kusimamia ukamilishwaji wa ujenzi katika maeneo husika wahakikishe kuwa fedha zinatumika vizuri kwa malengo yaliyopangwa.

Matangazo

  • TANGAZO LA VIBALI VYA UJENZI SIHA January 22, 2021
  • TANGAZO VIWANJA SIHA 2021 January 21, 2021
  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO SIHA fEBRUARI,2021 March 11, 2021
  • TANGAZO LA MKUTANO WA KAWAIDA BARAZA LA WAH. MADIWANI H.W SIHA KIPINDI CHA ROBO YA KWANZA(JULAI HADI SEPTEMBA 2017) November 24, 2017
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • Vijiji 24 Siha vyaendelea kunufaika na TASAF III

    April 12, 2021
  • Mil.40.5 kutolewa wanufaika wa TASAF Wilaya ya Siha

    April 13, 2021
  • Jengo la makao makuu ya Halmashauri kukamilika kwa Mil.650

    March 16, 2021
  • Siha yasajili shule 4 za Serikali

    March 08, 2021
  • Ona Zote

Video

Buriani Hayati Dkt. John Pombe Magufuli 1959-2021
Video zingine

Viunganisho vya haraka

  • Wasifu wa Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Wasifu wa Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri
  • Soma taarifa zote ndani ya tovuti
  • Blog ya Halmashauri
  • facebook ya Halmashauri
  • Matokeo ya Taifa Darasa la Saba 2016 Siha
  • kuomba pasipoti kupitia mtandaoni
  • WARAKA WA MAVAZI KWA WATUMISHI WA UMMA
  • Fomu za Likizo Watumishi wa Umma

Viunganisho Vinavyohusiana

  • Basic Education Statistics
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Takwimu za taifa
  • Idara ya habari maelezo
  • tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Wananchi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotazama

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Sanya Juu-Siha Kilimanjaro

    sanduku la Posta: S.L.P 129 Sanya Juu

    simu: 027-2970677

    Mobile: 0622643108

    Email: ded@sihadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Ya eneo

Copyright ©2017 SihaDistrictCouncil . All rights reserved.